Mambo yametoka huko INSTAGRAM... .Calisah ambaye ni Model aliewhi kushiriki shindano la Mr Tanzania (2013-2014) na kushika nafasi ya 4...ameamua kuweka wazi uhusiano wake wakimapenzi na mwanadada Wolper..japokuwa kwaupande wake Wolper hajasema chochote hadi sasa hivi.
Tag :
Cate-Udaku
0 Komentar untuk "HUYU NDIYO MODEL ANAYEDOO NA WOLPER"