Akipiga
stori na Ijumaa, Rose alisema amelazimika kwenda nyumbani kwao ili
kumpisha mumewe atimize nguzo hiyo ya Uislam bila kipingamizi kutokana
na kutokufunga ndoa.
“Mimi sifungi hivyo nimeona pia ni jambo la busara kumpa nafasi mwenzangu kwa ajili ya kufanya ibada hiyo, mwezi ukiisha nitarudi na maisha yetu yataendelea kama kawaida,” alisema Rose ambaye awali alikuwa akiishi na mumewe huyo Tandale jijini Dar.
“Mimi sifungi hivyo nimeona pia ni jambo la busara kumpa nafasi mwenzangu kwa ajili ya kufanya ibada hiyo, mwezi ukiisha nitarudi na maisha yetu yataendelea kama kawaida,” alisema Rose ambaye awali alikuwa akiishi na mumewe huyo Tandale jijini Dar.
0 Komentar untuk "ROSE NDAUKA AMGEMEA MMEWE NANIHII KISA MWEZI MTUKUFU"